Texas

Sehemu ya Texas








Texas

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Austin
Eneo
 - Jumla 695,621 km²
 - Kavu 678,051 km² 
 - Maji 17,570 km² 
Tovuti:  http://www.texasonline.gov/
Ramani ya Texas

Texas ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Idadi ya wakazi wa jimbo lote hufikia watu 24,326,974 (2008) wanaokalia eneo la 696,241 km² ambalo ni hasa milima na jangwa. Upande wa mashariki ni maji ya ghuba ya Meksiko. Mji mkuu wa jimbo ni Austin na mji mukubwa jimboni ni Houston. Imepakana na Oklahoma, Arkansas, Louisiana, New Mexico (Meksiko Mpya) na nchi ya Meksiko (Chihuahua, Coahuila, Nuevo León na Tamaulipas).


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy