Timbuktu

Msikiti ya kihistoria ya Djingerber


Timbuktu (kifaransa: Tombouctou; kiarabu: تمبكتو) ni mji nchini Mali kusini ya jangwa la Sahara takriban kwa umbali wa 13 km na mto Niger. Leo kuna takriban wakazi 32,000 .


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy