Tonga

Pule'anga Tonga
Kingdom of Tonga (Ufalme wa Tonga)
Bendera ya Tonga Nembo ya Tonga
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Ko e 'Otua mo Tonga ko hoku tofi'a
("Mungu na Tonga ni urithi wangu")
Wimbo wa taifa: Ko e fasi 'o e tu'i 'o e 'Otu Tonga
Lokeshen ya Tonga
Mji mkuu Nuku'alofa
21°08′ S 175°12′ W
Mji mkubwa nchini Nuku'alofa
Lugha rasmi Kitonga, Kiingereza
Serikali Ufalme
Tupou VI
Siaosi Sovaleni
Ufalme
Uhuru
4 Juni 1970,
kutoka nchi lindwa chini ya Uingereza
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
748 km² (ya 175)
4
Idadi ya watu
 - [[]] kadirio
 - 2021 sensa
 - Msongamano wa watu
 
(ya 199)
100,209
139/km² (ya 761)
Fedha Pa'anga (TOP)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+13)
(UTC+13)
Intaneti TLD .to
Kodi ya simu +676

-

1 Takwimu za 2005.


Tonga ni nchi ya visiwani ya Polynesia katika Pasifiki ya kusini yenye wakazi 102,321.

Eneo lake ni funguvisiwa lenye visiwa 169 kusini kwa Fiji na Samoa na kaskazini kwa New Zealand. Visiwa 52 tu vina wakazi (100,000 hivi).


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy