Jiji la Tunis | |
Nchi | Tunisia |
---|---|
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 602,560 |
Tunis (kwa Kiarabu: تونس ) ni mji mkuu wa Tunisia na mji mkubwa nchini ikiwa na wakazi 602,560 (mwaka 2022) ambao pamoja na wakazi wa mitaa ya nje wanafikia jumla ya milioni 2.7.
Mji uko ufukoni mwa Mediteranea, karibu na Karthago ya Kale.
Mji wa kale (Medina ya Tunis) umeorodheshwa na UNESCO kama Urithi wa Dunia.