Ubalehe

Ndevu kwa kawaida zinaanza kuota wakati wa mtoto wa kiume kubalehe.

Ubalehe (pia: Ubaleghe[1]) ni jumla ya mabadiliko ya mwili na ya roho yanayomfanya mtoto kuwa kijana halafu mtu mzima.

  1. Baleghe ni pendekezo la KyT

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy