Ubatizo

Mchoro wa kale wa Ubatizo huko Roma, Italia.
Ubatizo wa mkatekumeni huko Benin.
Ubatizo wa mtoto mchanga huko Odessa, Ukraina.


Ubatizo ni sakramenti ya kwanza ya Ukristo. Unaitwa "mlango wa sakramenti", kwa sababu ni lazima kuupokea kabla ya kupokea nyingine yoyote, hasa ekaristi.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy