Ufundi

Ufundi wa kuchonga

Ufundi ni ujuzi au maarifa aliyonayo binadamu katika kufanya jambo fulani.

Katika kueleza dhana ya ufundi tunamhusisha binadamu zaidi, kwani ndiye mwenye ujuzi wa pekee unaomtofautisha na viumbe hai wengine.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy