Uhindi ya Kiingereza

Uhindi ya Kiingereza ni kipindi cha historia ambapo nchi za Bara Hindi ama zilitawaliwa na Uingereza moja kwa moja ama zilikuwa chini ya usimamizi wa Uingereza kama nchi lindwa.

Utawala huo ulienea juu ya nchi za leo za Uhindi, Pakistan, Bangladesh, Nepal na kwa muda pia juu ya Burma (Myanmar).

Utawala wa Kiingereza ulikuwa na vipindi viwili:

Vituo vya nchi za Ulaya huko Uhindi miaka 1501-1937

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy