Usufii (kar. صوفی sufi) pia tasawuf (kar. تصوف ) au Uislamu wa Kisufii ni tawi la Uislamu linalotafuta maarifa ya moyoni kuhusu ya Mungu na imani.
Wafuasi wa mwelekeo huu wanaweza kuitwa Sufii, Dervish au Fakir.
Developed by Tubidy