Utah

Sehemu ya Jimbo la Utah








Utah

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Salt Lake City
Eneo
 - Jumla 219,887 km²
 - Kavu 212,751 km² 
 - Maji 7,136 km² 
Tovuti:  http://www.utah.gov/

Utah ni jimbo la Marekani upande wa magharibi ya nchi. Mji mkuu na mji mkubwa ni Salt Lake City (mji ya ziwa wa chumvi). Imepakana na Idaho, Wyoming, Colorado, Arizona, na Nevada. Jimbo lina wakazi wapatao 2,736,424 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 219,887. Tangu 1896 eneo lilipata hali ya jimbo la kujitawala.

Gavana amekuwa tangu Agosti 2009 Gary Richard Herbert.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy