Uti wa mgongo

- Uti wa mgongo katika mwili wa kibinadamu
Sehemu za uti wa mgongo

Uti wa mgongo ni nguzo ya mifupa ambayo ni kiini cha kiunzi cha mifupa katika miili ya vetebrata kama binadamu, mamalia wote na pia wanyama wengine wengi kama samaki, reptilia na ndege.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy