Venezuela

República Bolivariana de Venezuela1
Jamhuri ya Kibolivar ya Venezuela1
Bendera ya Venezuela Nembo ya Venezuela
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: None 2
Wimbo wa taifa: Gloria al Bravo Pueblo
Lokeshen ya Venezuela
Mji mkuu Caracas
10°30′ N 66°58′ W
Mji mkubwa nchini Caracas
Lugha rasmi Kihispania 3
Serikali Shirikisho la jamhuri
Nicolás Maduro
Uhuru
Kutoka Hispania
Kutoka Gran Colombia
ilitambuliwa

5 Julai 1811
21 Novemba 1831
30 Machi 1845
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
916,445 km² (ya 33)
0.32
Idadi ya watu
 - 2015 kadirio
 - 2001 sensa
 - Msongamano wa watu
 
33,221,865 (ya 44)
23,054,210
30.2/km² (ya 175)
Fedha Bolivar (VEB)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
AST (UTC-4)
None (UTC)
Intaneti TLD .ve
Kodi ya simu +58

-

1 Jamhuri ya Kibolivari ya Venezuela imekuwa jina la nchi tangu katiba ya 1999. "Kibolivar" ni jina la heshima kwa kumbukumbu ya mshujaa wa uhuru Simon Bolivar.
2 Zamani: Dios y Federación ("Mungu na Shirikisho")
3 Katiba inatambua pia lugha asilia zote nchini.


Ramani ya Venezuela.

Venezuela ni nchi kaskazini mwa Amerika ya Kusini.

Imepakana na Brazil, Guyana na Kolombia.

Mbele ya pwani ya Bahari ya Karibi kuna madola ya visiwani ya Aruba, Antili za Kiholanzi na Trinidad na Tobago.

Venezuela ilikuwa koloni la Hispania hadi mwaka 1811 na lugha ya Kihispania ni lugha ya kitaifa.

Kikatiba Venezuela ni shirikisho la jamhuri.

Mji mkuu ni Caracas.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy