Visiwa vya Karibi

Visiwa vya Karibi.
Ramani ya Carribean
Ramani nyingine ya Karibi.

Visiwa vya Karibi (kwa Kiingereza Caribbean; kwa Kiholanzi: Cariben au Caraiben, kwa Kifaransa: Caraïbe au aghalabu Antilles; kwa Kihispania: Caribe) ni eneo la Amerika ambalo linajumuisha maelfu ya visiwa vikubwa na vidogo katika Bahari ya Karibi (Atlantiki), lakini pia maeneo ya kaskazini mwa Amerika Kusini na mashariki mwa Amerika ya Kati.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy