Vita ya Miaka Saba

Maeneo yote yaliyoathiriwa na Vita ya Miaka Saba      Uingereza, Prussia, Ureno na nchi ndogo      Ufaransa, Hispania, Austria, Urusi, Uswidi, pamoja na koloni na nchi ndogo upande wao

Vita ya Miaka Saba ilitokea kati ya miaka 1756 na 1763. Ilitokana na mashindano ya nchi za Ulaya ikasambaa pande nyingi za dunia. Hivyo imeitwa "Vita Kuu ya Dunia" ya kwanza hata kama jina hilo kwa kawaida linatumiwa kwa ajili ya vita kati ya 1914 na 1918.

Ushirikiano kati ya nchi za Ulaya mwanzoni wa vita ya miaka 7.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy