Wamijikenda

Mijikenda ("miji au makabila tisa": "kenda" ni Kiswahili asilia kwa namba 9) ni jina la kutaja jumla vikundi tisa kwenye pwani ya Kenya. Vikundi hivi wakati mwingine huitwa koo, wakati mwingine makabila. Watazamwa kuwa vikundi ya pekee vinavyoshiriki lugha moja kwa lahaja mbalimbali.

Idadi yao ilikuwa takriban 750,000 mnamo mwaka 1980.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy