Wangurimi

Wangurimi (au Wangoreme) ni kabila la watu wa Tanzania wanaoishi katika Mkoa wa Mara, wilaya ya Serengeti.

Lugha yao ni Kingurimi ambayo waliweza kutambua miezi yote kumi na mbili kwa majina yake kama vile mwezi 1-Kyero kembele (Januari), 2-Itaturi (Februari), 3-Kimagha (Machi), 4-Etwigho (Aprili), 5-Kyero ghekaphere (Mei), 6-Kimagha ghekaphere (Juni), 7-Nyamapheho (Julai), 8-Ringura masaringi (Agosti), 9-Nyasahi (Septemba), 10-Kemwamu (Oktoba), 11-Rughaka (Novemba), 12-Kemwamu kemwisho (Desemba).


From Wikipedia, the free encyclopedia ยท View on Wikipedia

Developed by Tubidy