Waorthodoksi wa Mashariki

Asilimia ya Waorthodoksi wa Mashariki nchi kwa nchi:      zaidi ya 75%      50–75%      20–50%      5–20%      1–5%      chini ya 1%, lakini wenye haki ya kujitegemea


Waorthodoksi wa Mashariki ni jina linalotumika pengine kuhusu Wakristo wa Makanisa ya Mashariki ambayo katika karne ya 5 yalitengana na Wakatoliki na Waorthodoksi kwa kutokubali uamuzi wa mojawapo kati ya Mitaguso ya kiekumeni, hasa ile ya Efeso (431) na Kalsedonia (451).

Makanisa hayo ni ya kitaifa, kama vile:

Jumla ya waumini ni milioni 84 hivi, wengi wao wakiwa Waethiopia.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy