Wilaya ya Kondoa Mjini

Mahali pa wilaya za Kondoa (kijani kilichokolea) katika mkoa wa Dodoma.

Wilaya ya Kondoa Mjini ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Dodoma, Tanzania, yenye postikodi namba 41700[1]. Mnamo mwaka 2015 maeneo ya Dodoma Mjini ndipo yalipotengwa kuwa halmashauri ya pekee kutoka Wilaya ya Kondoa).

Makao ya halmashauri ya wilaya yapo Kondoa mjini. Mnamo mwaka 2015, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Kondoa Mjini ilihesabiwa kuwa 64,147. [2] Katika ile ya mwaka 2022 walihesabiwa 80,443 [3].

  1. โ†‘ "Nakala iliyohifadhiwa" (PDF). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2020-03-21. Iliwekwa mnamo 2020-09-27.
  2. โ†‘ Makadirio ya Idadi ya Watu katika Majimbo ya Uchaguzi kwa Mwaka 2016, Tanzania Bara
  3. โ†‘ https://www.nbs.go.tz

From Wikipedia, the free encyclopedia ยท View on Wikipedia

Developed by Tubidy