Yellowstone National Park

Yellowstone National Park

Grand Canyon of the Yellowstone
MahaliUnited States
  • Park County, Wyoming
  • Teton County, Wyoming
  • Gallatin County, Montana
  • Park County, Montana
  • Fremont County, Idaho
Eneoacre 2 219 791 (ha 898 318)
Kuanzishwa1, 1872 (1872-March-01)
Visitors4,115,000 (in 2018) [1]
Mamlaka ya utawalaU.S. National Park Service
Tovuti[http:// Official website]
Mto Yellowstone kwenye tambarare

Hifadhi ya Taifa ya Yellowstone ni mbuga ya kitaifa nchini Marekani. Ilikuwa mbuga ya kwanza wa kitaifa kutangazwa duniani. [2]

Jina lilichukuliwa kutoka Mto Yellowstone, ambao unapita katikati ya hifadhi. Yellowstone lilipokewa katika orodha ya Urithi wa Dunia ya UNESCO mwaka 1978.

Hifadhi ya Taifa ya Yellowstone ni maarufu kwa geyser zake na chemchemi za moto. Hifadhi hiyo ina karibu nusu ya geyser zote duniani. [2] Geyser maarufu inaitwa Old Faithful kwa sababu inachemka kwa umakini mkubwa kia baada ya dakika ama 65 au 91. Kuna wanyamapori aina za dubu, mbwa mwitu, baisani na elki. Watalii wengi hutembelea mbuga hiyo kila mwaka kuona geyser na wanyama huko.

  1. Kigezo:NPS visitation
  2. 2.0 2.1 "UNESCO, Yellowstone National Park". UNESCO. Iliwekwa mnamo 2012-04-19.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Tubidy