Yellowstone National Park | |
IUCN Jamii II (Hifadhi ya Taifa) | |
Grand Canyon of the Yellowstone | |
Mahali | United States
|
---|---|
Eneo | acre 2 219 791 (ha 898 318) |
Kuanzishwa | 1, 1872 |
Visitors | 4,115,000 (in 2018) [1] |
Mamlaka ya utawala | U.S. National Park Service |
Tovuti | [http:// Official website] |
Hifadhi ya Taifa ya Yellowstone ni mbuga ya kitaifa nchini Marekani. Ilikuwa mbuga ya kwanza wa kitaifa kutangazwa duniani. [2]
Jina lilichukuliwa kutoka Mto Yellowstone, ambao unapita katikati ya hifadhi. Yellowstone lilipokewa katika orodha ya Urithi wa Dunia ya UNESCO mwaka 1978.
Hifadhi ya Taifa ya Yellowstone ni maarufu kwa geyser zake na chemchemi za moto. Hifadhi hiyo ina karibu nusu ya geyser zote duniani. [2] Geyser maarufu inaitwa Old Faithful kwa sababu inachemka kwa umakini mkubwa kia baada ya dakika ama 65 au 91. Kuna wanyamapori aina za dubu, mbwa mwitu, baisani na elki. Watalii wengi hutembelea mbuga hiyo kila mwaka kuona geyser na wanyama huko.